Mwamini Yesu!

Unachotakiwa kufanya ni kumwamini Yesu na kile ambacho amekifanya kwa ajili yako.

  • Tambua kwamba umetenda dhambi na unahitaji msamaha wake.
  • Amini kwamba Yesu pekee ndiye anayeweza kukuokoa kutoka katika dhambi zako. Amini kwamba alikufa kwa ajili ya dhambi zako na kwamba alifufuka kutoka kwa wafu.
  • Mwalike Yesu maishani mwako na umfuate.
Mwamini Yesu!
trip_origin trip_origin trip_origin trip_origin trip_origin trip_origin circle trip_origin trip_origin trip_origin trip_origin